Wednesday, July 22, 2020
Saturday, May 25, 2019
Tuesday, March 12, 2019
Friday, May 18, 2018
*JE NI HALALI KI-BIBLIA MWANAMKE KUHUBIRI KANISANI*
*AU*
*KUWA MCHUNGAJI ❓*
( Sehemu ya kwanza )
<><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><>
Mistari muhimu ya kukumbuka:-
*1 WAKORINTHO 14:34-36:-*
*34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.*
*35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.*
36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
*1 TIMOTHEO 2:11-12:-*
11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
*12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.*
πππππππππ
HII NI MADA YENYE UBISHI MKUBWA miongoni mwa vichwa vya watu wengi . Na maandiko hayo kwa kueleweka isivyo sahihi hutumiwa na baadhi ya watu wengi kujaribu kujenga hoja zao za kupinga kwamba mwanamke hana haki yoyote ya kuwa Mchungaji wala kusimama madhabahuni kuwahubiria watu kanisani.
Jambo hili limeleta mzozano mkubwa na mpasuko ndani ya makanisa mengi ya Mungu, kuhusu uhalali wa mwanamke kuhubiri madhabahuni na kuwa Mchungaji. Kuna mawazo ya positive na Negative, kuna wengine wanaona ni sahihi na kuna wengine kwao siyo sahihi kabisa .
Sasa basi ukweli na usahihi wa maandiko hayo ni upi basi? Je, ni sahihi kwamba mwanamke hatakiwi kuhubiri madhabahuni kanisani au kuwa Mchungaji ? Tatizo ni kwamba Maandiko hayo hayaeleweki vizuri kwa kwa wakristo wengi na hata baadhi ya wachungaji na Maaskofu, wanalifafanua hilo Andiko kwa maana potofu kabisa .
*NB:-*
Kuitwa Mtume, Nabii Askofu au Mchungaji n.k. Siyo kigezo kikubwa cha kwamba wewe unaielewa sana Biblia kwa usahihi wake. La asha ! Ndiomaana wako hata wachungaji wengine tena wengi tu ambao huyatafsiri maandiko isivyo na kuyapotosha kwa tamaa zao wenyewe.
MWALIMU MKUU WA BIBLIA NI ROHO MTAKATIFU; yeye ndiye aliyeyaleta maandiko hayo kwetu. Na hatuwezi sisi kuamua kuyatafsiri maandiko hayo vyovyote tu kama apendavyo mtu fulani kutafsiri. La Asha
*[ 2 PETRO 1:19-20 ]*.
Bali katika kanuni za kuyatafsiri maandiko, tunahitaji sana maongozi ya msaada wa Roho Mtakatifu mwenyewe katika kuyasoma na kuyaelewa maandiko vizuri na kuyatafsiri kwa usahihi wake. Neno la Biblia. Tunaweza kulifaham kwa kufunuliwa na Roho Mtakatifu pekee yake. Ndiomaana Yesu alisema *uliwaficha wenye hekima na Akili (Wasomi), ukawafunulia watoto wachanga (Watu wasio na elimu)*. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza mbele zako [ MATHAYO 11:25-26]. *"Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho Mtakatifu*. Maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu. Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, *bali Roho atokaye kwa Mungu makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu "*.
[1 WAKORINTHO 2:10-15].
Si hilo tu. Nikodemo alikuwa ni mwalimu mkuu wa chuo cha Torati. Na watu walimwamini sana katika Taifa la Israeli. Lakini Nikodemo alipoambiwa na Yesu maneno mepesi tu ya Mungu , na usomi wake wote, alishindwa kuyaelewa maana yake nini !! Sasa Yesu ambaye hakupita chuo chochote cha Theolojia, ikambidi amfundishe Nikodemo, mwalimu mkuu wa chuo cha Theolojia ya Torati.
[ YOHANA 3:1- 10 ]
Sisemi wala kupinga kwamba kusoma chuo cha Biblia ni kosa au ni vibaya, au ni dhambi. Hapana. Ni nini maana ya kuanza kukwambia hayo. Maana yangu ni hii kwamba :- Ondoa dhana potofu ukafikili kila mtu anayeitwa Mchungaji, Askofu au Mwanatheolojia fulani msomi anaielewa sana Biblia ki-maana. Ukiwa na mawazo hayo tu, utapotezwa na kudanganyika sana Mpendwa . Na Mungu huwa hatendi kazi kwa misingi hiyo. Mchungaji /Ev/ Mwanatheolojia huyo *Anaweza kuielewa Biblia kwa namna fulani tu ya akili hivi , lakini asiweze kabisa kuielewa Biblia kwa jinsi ya rohoni zaidi kwa ufunuo wa Roho Mtakatifu*. Na maana ya kweli ya maneno ya Biblia hutumbalikana kwa jinsi ya rohoni zaidi na sio kwa jinsi ya mwilini.
[ WAGALATIA 1:11-12 ; WAEFESO 1:17-19].
Hivyo ni vema zaidi tusiweke vipimo vyetu vya usomi kama kigezo cha kuitafsiri Biblia; bali tumuhitaji sana Roho wa Mungu ndio atuongoze katika kulitafsiri Neno lake Mungu.
*Je, ni halali Mwanamke kuhubiri au kuwa Mchungaji?*
Jibu :- Ni ndiyo kwa herufi kubwa.
Tutajifunza somo hili kwa kuligawa katika vipengele vinne. Ambavyo ni :-
*(1) HOJA POTOFU KUHUSU MWANAMKE KUTOKUWA MCHUNGAJI / MUHUBIRI.*
*(2) UHALALI WA MWANAMKE KUHUBIRI / KUFUNDISHA KANISANI*.
*(3) UHALALI WA MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI*
*(4) UFAFANUZI WA ANDIKO LA 1 WAKORINTHO 14:34-35 NA 1 TIMOHEO 2:12*.
KIPENGELE NO:1
*HOJA POTOFU KUHUSU MWANAMKE KUTOKUWA MCHUNGAJI/ MUHUBILI*.
Ukiwasikia watu wengi wanaopinga mwanamke kuhubiri au kuwa Mchungaji. Mbali na kutumia Andiko la 1 Wakorintho 14:34-35 na 1 Timoheo 2:12-15 katika ufafanuzi wao .
Pia watajenga hoja yao nyingine ni kwamba *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU* na hivyo wataeleza mengi tu katika kufafanua hoja yao hii.
Lakini mbele za Mungu, hoja ya mwanamke kutokuhubiri au kuwa Mchungaji kwa sababu eti ni kiumbe dhaifu. Hoja kama hii haikubaliki na wala haina maana yoyote. Kwa sababu Biblia inasema kwamba *Hao hao watu walio dhaifu machoni petu ndio Mungu anayewachagua kuwa watumishi wake*. Neno la Mungu linasema katika
*1WAKORINTHO 1: 26-29:-" Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa; bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; TENA MUNGU ALIVICHAGUA VITU VINYONGE VYA DUNIA NA VILIVYODHARAULIWA (WANAWAKE), naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko; mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu."*
Kwa maana hiyo ni muhimu kuzidi kuelewa na kufaham vizuri kwamba siku zote Mungu huwa hamchagui mtu yoyote kuwa mtumishi wake katika ngazi yoyote ya utumishi wa kihuduma kwa sababu tu ya kigezo cha jinsia yake kwamba ni kike au kiume. Hapana. Mungu hachagui mtu yoyote kwa kigezo cha sifa, umri, cheo au jinsia yake. Mungu huwa hatumikiwi wala kutenda kazi kwa misingi hiyo. Biblia inatuambia katika
*1 SAMWELI 16:7-10*:-
*7. Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA HAANGALII KAMA BINADAMU AANGALIAVYO; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.*
8. Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye *akasema, BWANA hakumchagua huyu*.
9. Ndipo Yese akampitisha Shama. *Naye akasema, wala BWANA hakumchagua huyu*.
10. Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. *Samweli akamwambia Yese, BWANA hakuwachagua hawa*.
*WAFILIPI 3:3-4:-"Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, WALA HATUUTUMAINI MWILI. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu ye yote akijiona kuwa anayo sababu ya kuutumainia mwili, mimi zaidi."*
Kwa sababu hiyo. Mungu katika mpango wake anaweza kumchagua mtu yoyote yule bila kujali sifa yake, umri wake au jinsia yake kwamba ni *mwanamke* au mwanaume , Mungu anaweza kumchagua awe mtumishi wake katika ngazi yoyote ya utumishi na tena akamtumia kwa viwango visivyo vya kawaida. Kwa hiyo sisi wanadamu hatupaswi kuamua kumpangia Mungu kwamba mwanamke hawezi kuwa Mchungaji au muhubiri. Kivipi !? *TUSILETE MFUMO-DUME NDANI YA KANISA LA MUNGU*. Hilo ni chaguo la Mungu sio la kwako wewe mwanadamu. Na kwa maana hiyo Mungu akiamua kumchagua mwanamke kuwa Mchungaji, Askofu, Mwinjilisti, mtume, Nabii n. k. Atakuwa hivyo Mchungaji, mtume, Nabii na kadhalika. Biblia inasema katika
*WARUMI 9:11-16*:-"
(kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, *ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye)*, aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo. Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia. Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!
Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye. *Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu."*
*WAEBRANIA 5:4:-" Na hapana mtu ajitwaliaye mwenyewe heshima hii, ILA YEYE AITWAYE NA MUNGU*, kama vile Haruni ".
Na kwa maana hiyo. Ngazi yoyote ya utumishi katika huduma mtu huwekwa na Mungu . Mungu akiamua kumwita mwanamke awe mchungaji, atakuwa ni Mchungaji tu na Mungu atajidhihirisha kwake kwa kumthibitisha kwamba yeye ndiye aliyemuita. *Wako wachungaji wanawake na wahubiri duniani ambao Mungu anawatumia kwa viwango vya juu sana katika huduma zao*. Hatuwezi kukanusha na kupinga utumishi wao kwa sababu tu ya kijinsia. *Yesu alisema kama hamniamini mimi, ziamini zile kazi , kwa kuwa kazi zenyewe zanishuhudia ya kwamba Baba Mungu amenituma*.
[ YOHANA 5:36; YOHANA 10:25, 36-38; YOHANA 14:10-12].
*HOJA YAO YA PILI.*
*Watasema hata maandiko yanamtaja kwamba mwanaume ndiye anayepaswa kuwa Mchungaji (Askofu). Uaskofu ni ngazi ya juu ya madaraka ya kichungaji*.
Na watatumia Andiko lao hili lifuatalo katika
*1 TIMOHEO 3:1-12:-*
1-7. Ni neno la kuaminiwa; *mtu akitaka kazi ya askofu*, atamani kazi njema. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, *MUME(MWANAUME) wa mke mmoja*, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha; mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu; (yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?)
Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.
Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.
8-12. *Vivyo hivyo mashemasi* na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu; wakiishika siri ya imani katika dhamiri safi. Hawa pia na wajaribiwe kwanza; baadaye waitende kazi ya shemasi, wakiisha kuonekana kuwa hawana hatia. Vivyo hivyo wake zao na wawe wastahivu; si wasingiziaji; watu wa kiasi, waaminifu katika mambo yote.
*Mashemasi na wawe WAUME wa mke mmoja*, wakiwasimamia watoto wao vizuri, na nyumba zao. Kwa maana watendao vema kazi ya shemasi hujipatia daraja nzuri, na ujasiri mwingi katika imani iliyo katika Kristo Yesu. "
Ni muhimu kuelewa vizuri Andiko hilo kwa kusema *mwanaume hapo ndiwe Askofu*. Haimanishi kwamba basi limemkataza Mwanamke asiwe mchungaji au Askofu. Hapana. Kwa sababu ukitazama mukadha mzima wa maelezo yote ya Andiko nzima, yameendelea kusema pia *" MASHEMASI NA WAWE WAUME wa mke mmoja "*. Sasa Je, kwa kusema hivyo tuseme Paulo Mtume hapo hakuwaruhusu pia wanawake wasiwe washemasi kwa sababu tu amewataja wanaume? Jibu ni hapana.
Tunaona pia walikuwepo *MASHEMASI WANAWAKE* ambao pia Paulo mtume aliwachagua katika kanisa. Ukisoma katika *WARUMI 16:1*, Biblia inasema:- *" Namkabidhi kwenu Fibi, Ndugu yetu, aliye muhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea"*. Mstari huo katika Biblia ya kingereza ya *New International Version*, unasomeka hivi, *Romans 16:1:-" I commend to you our Sister Phoebe, a Servant (deaconess) of the church in Cenchrea"*.
Kwa hiyo tunaona hapo juu ya Shemasi Mwanamke ingawa katika Waraka wa Timotheo wanatajwa tu kuwa mashemasi wanaume tu. Kwa maana hiyo tunapata kuelewa kwamba Andiko la *1 TIMOTHEO 3:1-12*, Ingawa liliwataja maaskofu na mashemasi kuwa wanaume hapo , lakini hakumaishi kwa wanaume tu pekee yao , bali hata wanawake pia wanaweza kuwa mashemasi, na vilevile wachungaji (maaskofu) pia kwa msingi huo.
Ni muhimu kuyaelewa maandiko ya Biblia vizuri sio kila mahali andiko linapotaja jambo kwa upande mmoja linamainisha tu kwa upande mmoja pekee yake . Hapana. *Linaweza kutajwa kwa upande mmoja, lakini halikumainishi kuishia tu kwa upande mmoja, bali kwa pande zote mbili*. Kwa mfano , Yesu alisema, kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake [ MATHAYO 5:27-28].
Sasa Swali la ufaham :- *Andiko hilo hapo linamgusa tu mwanaume kumtamani mwanamke ndio dhambi. Lakini Je, tuseme mwanamke naye akimtamani mwanaume kiuasherati, itakuwa siyo dhambi?* Kwa sababu tu eti Andiko hilo limemtaja tu mwanaume hapo? Jibu ni la!
Na kwa msingi huo huo hata kama Biblia imewataja wanaume kuwa ndio wawe maaskofu na mashemasi. Neno hilo halikuishia kumainisha tu kwa wanaume pekee yao bali hata kwa wanawake pia wanaweza kuwa wachungaji au maaskofu, mashemasi, mitume, manabii n.k.
Ni muhimu kufaham Biblia inasema katika *MATENDO 10:34-35:-*
*" Petro akafumbua kinywa chake, akasema, HAKIKA NATAMBUA YA KUWA MUNGU HANA UPENDELEO; bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye. "*
Kusema kwamba mwanaume tu ndio anayepasa kuhubiri na kuwa Mchungaji lakini mwanamke hafai kwa lolote. Huo ni upendeleo. Mungu wetu hana upendeleo wa aina yoyote ile , kila mtu awe ni mwanaume au mwanamke bado Mungu anaweza kuwatumia wote sawasawa katika nafasi yoyote ile ya utumishi iwe ni uchungaji na kadhalika.
Ni muhimu kufaham katika suala la utumishi wowote mbele za Mungu. Mwanaume hawezi kujivuna na kujiinua kwamba yeye anastahili sana zaidi ya mwanamke. Katika imani ya wokovu iliyobeba utumishi ndani yake, sisi wote ni sawasawa mbele za Mungu. Hakuna mmoja aliye bora wa kujiinua juu zaidi ya mwingine. Biblia inasema katika
*1 WAKORINTHO 12:17-27:-*
*" BALI MUNGU AMEVITIA VIUNGO KILA KIMOJA KATIKA MWILI KAMA ALIVYOTAKA*. Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja. Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi. *Bali zaidi sana vile viungo vya mwili vidhaniwavyo kuwa vinyonge zaidi vyahitajiwa zaidi. Na vile viungo vya mwili vidhaniwavyo kuwa havina heshima, viungo vile twavipa heshima zaidi; na viungo vyetu visivyo na uzuri vina uzuri zaidi sana*. Kwa maana viungo vyetu vilivyo na uzuri havina uhitaji; bali Mungu ameuungamanisha mwili, na *kukipa heshima zaidi kile kiungo kilichopungukiwa;* ili kusiwe na faraka katika mwili, *bali viungo vitunzane kila kiungo na mwenziwe*. Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, *na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho*. Basi ninyi mmekuwa mwili wa Kristo, na viungo kila kimoja peke yake. Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza.............."
*YOHANA 6: 28-29:-*
*"Basi wakamwambia, Tufanyeje ili tupate KUZITENDA KAZI ZA MUNGU ? Yesu akajibu, akawaambia, Hii ndiyo kazi ya Mungu, mmwamini yeye aliyetumwa na yeye."*
*WAGALATIA 3:26-29:-*
*"Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. HAPANA MTU MUME WALA MTU MKE. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu."*.
Maandiko hayo kwa ujumla wake yanatufundisha Mungu ndiye anaweza kuamua kumuweka mtu yoyote katika nafasi yoyote ya utumishi wa kazi ya huduma ya Mungu , huyu hivi na yule vile. Na kwa Mungu hakuna kigezo cha ubaguzi wowote wa jinsia katika nafasi yoyote ya kumtumikia .Na kwa maana hiyo *WANAUME NA WANAWAKE WOTE KWA PAMOJA WANAWEZA KUWA WAHUBIRI, WACHUNGAJI, MITUME N. k.*
Mwanaume huyu Akila na Mwanamke huyu Priska, mke na mume. Kwa pamoja wote wanatajwa kila mmoja wao katika kuhusika kuifanya kazi ya Mungu ya uchungaji waliokuwa nayo juu ya kanisa.
*[ WARUMI 16:3-4. ]*
Somo hili litaendelea sehemu ya pili........
πΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ
Unakaribishwa pia kujiunga na group letu.
Mtumishi wa Mungu aliye hai.
*MWL, REV:- ODRICK BRYSON*
*SIMU (0759 386 988; 0717 591 466)*.
Whatsap group.
Email :- Odrick 16@gmail. Com.
*" KWELI YOTE YA NENO LA MUNGU ISIYOGOSHIWA"*.
[ 2 WAKORINTO 2:17 ]
πΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ
*AU*
*KUWA MCHUNGAJI ❓*
( Sehemu ya kwanza )
<><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><><>
Mistari muhimu ya kukumbuka:-
*1 WAKORINTHO 14:34-36:-*
*34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.*
*35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.*
36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
*1 TIMOTHEO 2:11-12:-*
11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
*12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.*
πππππππππ
HII NI MADA YENYE UBISHI MKUBWA miongoni mwa vichwa vya watu wengi . Na maandiko hayo kwa kueleweka isivyo sahihi hutumiwa na baadhi ya watu wengi kujaribu kujenga hoja zao za kupinga kwamba mwanamke hana haki yoyote ya kuwa Mchungaji wala kusimama madhabahuni kuwahubiria watu kanisani.
Jambo hili limeleta mzozano mkubwa na mpasuko ndani ya makanisa mengi ya Mungu, kuhusu uhalali wa mwanamke kuhubiri madhabahuni na kuwa Mchungaji. Kuna mawazo ya positive na Negative, kuna wengine wanaona ni sahihi na kuna wengine kwao siyo sahihi kabisa .
Sasa basi ukweli na usahihi wa maandiko hayo ni upi basi? Je, ni sahihi kwamba mwanamke hatakiwi kuhubiri madhabahuni kanisani au kuwa Mchungaji ? Tatizo ni kwamba Maandiko hayo hayaeleweki vizuri kwa kwa wakristo wengi na hata baadhi ya wachungaji na Maaskofu, wanalifafanua hilo Andiko kwa maana potofu kabisa .
*NB:-*
Kuitwa Mtume, Nabii Askofu au Mchungaji n.k. Siyo kigezo kikubwa cha kwamba wewe unaielewa sana Biblia kwa usahihi wake. La asha ! Ndiomaana wako hata wachungaji wengine tena wengi tu ambao huyatafsiri maandiko isivyo na kuyapotosha kwa tamaa zao wenyewe.
MWALIMU MKUU WA BIBLIA NI ROHO MTAKATIFU; yeye ndiye aliyeyaleta maandiko hayo kwetu. Na hatuwezi sisi kuamua kuyatafsiri maandiko hayo vyovyote tu kama apendavyo mtu fulani kutafsiri. La Asha
*[ 2 PETRO 1:19-20 ]*.
Bali katika kanuni za kuyatafsiri maandiko, tunahitaji sana maongozi ya msaada wa Roho Mtakatifu mwenyewe katika kuyasoma na kuyaelewa maandiko vizuri na kuyatafsiri kwa usahihi wake. Neno la Biblia. Tunaweza kulifaham kwa kufunuliwa na Roho Mtakatifu pekee yake. Ndiomaana Yesu alisema *uliwaficha wenye hekima na Akili (Wasomi), ukawafunulia watoto wachanga (Watu wasio na elimu)*. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza mbele zako [ MATHAYO 11:25-26]. *"Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho Mtakatifu*. Maana Roho huchunguza yote hata mafumbo ya Mungu. Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, *bali Roho atokaye kwa Mungu makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu "*.
[1 WAKORINTHO 2:10-15].
Si hilo tu. Nikodemo alikuwa ni mwalimu mkuu wa chuo cha Torati. Na watu walimwamini sana katika Taifa la Israeli. Lakini Nikodemo alipoambiwa na Yesu maneno mepesi tu ya Mungu , na usomi wake wote, alishindwa kuyaelewa maana yake nini !! Sasa Yesu ambaye hakupita chuo chochote cha Theolojia, ikambidi amfundishe Nikodemo, mwalimu mkuu wa chuo cha Theolojia ya Torati.
[ YOHANA 3:1- 10 ]
Sisemi wala kupinga kwamba kusoma chuo cha Biblia ni kosa au ni vibaya, au ni dhambi. Hapana. Ni nini maana ya kuanza kukwambia hayo. Maana yangu ni hii kwamba :- Ondoa dhana potofu ukafikili kila mtu anayeitwa Mchungaji, Askofu au Mwanatheolojia fulani msomi anaielewa sana Biblia ki-maana. Ukiwa na mawazo hayo tu, utapotezwa na kudanganyika sana Mpendwa . Na Mungu huwa hatendi kazi kwa misingi hiyo. Mchungaji /Ev/ Mwanatheolojia huyo *Anaweza kuielewa Biblia kwa namna fulani tu ya akili hivi , lakini asiweze kabisa kuielewa Biblia kwa jinsi ya rohoni zaidi kwa ufunuo wa Roho Mtakatifu*. Na maana ya kweli ya maneno ya Biblia hutumbalikana kwa jinsi ya rohoni zaidi na sio kwa jinsi ya mwilini.
[ WAGALATIA 1:11-12 ; WAEFESO 1:17-19].
Hivyo ni vema zaidi tusiweke vipimo vyetu vya usomi kama kigezo cha kuitafsiri Biblia; bali tumuhitaji sana Roho wa Mungu ndio atuongoze katika kulitafsiri Neno lake Mungu.
*Je, ni halali Mwanamke kuhubiri au kuwa Mchungaji?*
Jibu :- Ni ndiyo kwa herufi kubwa.
Tutajifunza somo hili kwa kuligawa katika vipengele vinne. Ambavyo ni :-
*(1) HOJA POTOFU KUHUSU MWANAMKE KUTOKUWA MCHUNGAJI / MUHUBIRI.*
*(2) UHALALI WA MWANAMKE KUHUBIRI / KUFUNDISHA KANISANI*.
*(3) UHALALI WA MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI*
*(4) UFAFANUZI WA ANDIKO LA 1 WAKORINTHO 14:34-35 NA 1 TIMOHEO 2:12*.
KIPENGELE NO:1
*HOJA POTOFU KUHUSU MWANAMKE KUTOKUWA MCHUNGAJI/ MUHUBILI*.
Ukiwasikia watu wengi wanaopinga mwanamke kuhubiri au kuwa Mchungaji. Mbali na kutumia Andiko la 1 Wakorintho 14:34-35 na 1 Timoheo 2:12-15 katika ufafanuzi wao .
Pia watajenga hoja yao nyingine ni kwamba *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU* na hivyo wataeleza mengi tu katika kufafanua hoja yao hii.
Lakini mbele za Mungu, hoja ya mwanamke kutokuhubiri au kuwa Mchungaji kwa sababu eti ni kiumbe dhaifu. Hoja kama hii haikubaliki na wala haina maana yoyote. Kwa sababu Biblia inasema kwamba *Hao hao watu walio dhaifu machoni petu ndio Mungu anayewachagua kuwa watumishi wake*. Neno la Mungu linasema katika
*1WAKORINTHO 1: 26-29:-" Maana, ndugu zangu, angalieni mwito wenu, ya kwamba si wengi wenye hekima ya mwilini, si wengi wenye nguvu, si wengi wenye cheo walioitwa; bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu; TENA MUNGU ALIVICHAGUA VITU VINYONGE VYA DUNIA NA VILIVYODHARAULIWA (WANAWAKE), naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko; mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu."*
Kwa maana hiyo ni muhimu kuzidi kuelewa na kufaham vizuri kwamba siku zote Mungu huwa hamchagui mtu yoyote kuwa mtumishi wake katika ngazi yoyote ya utumishi wa kihuduma kwa sababu tu ya kigezo cha jinsia yake kwamba ni kike au kiume. Hapana. Mungu hachagui mtu yoyote kwa kigezo cha sifa, umri, cheo au jinsia yake. Mungu huwa hatumikiwi wala kutenda kazi kwa misingi hiyo. Biblia inatuambia katika
*1 SAMWELI 16:7-10*:-
*7. Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA HAANGALII KAMA BINADAMU AANGALIAVYO; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.*
8. Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye *akasema, BWANA hakumchagua huyu*.
9. Ndipo Yese akampitisha Shama. *Naye akasema, wala BWANA hakumchagua huyu*.
10. Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. *Samweli akamwambia Yese, BWANA hakuwachagua hawa*.
*WAFILIPI 3:3-4:-"Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, WALA HATUUTUMAINI MWILI. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu ye yote akijiona kuwa anayo sababu ya kuutumainia mwili, mimi zaidi."*
Kwa sababu hiyo. Mungu katika mpango wake anaweza kumchagua mtu yoyote yule bila kujali sifa yake, umri wake au jinsia yake kwamba ni *mwanamke* au mwanaume , Mungu anaweza kumchagua awe mtumishi wake katika ngazi yoyote ya utumishi na tena akamtumia kwa viwango visivyo vya kawaida. Kwa hiyo sisi wanadamu hatupaswi kuamua kumpangia Mungu kwamba mwanamke hawezi kuwa Mchungaji au muhubiri. Kivipi !? *TUSILETE MFUMO-DUME NDANI YA KANISA LA MUNGU*. Hilo ni chaguo la Mungu sio la kwako wewe mwanadamu. Na kwa maana hiyo Mungu akiamua kumchagua mwanamke kuwa Mchungaji, Askofu, Mwinjilisti, mtume, Nabii n. k. Atakuwa hivyo Mchungaji, mtume, Nabii na kadhalika. Biblia inasema katika
*WARUMI 9:11-16*:-"
(kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, *ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye)*, aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo. Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia. Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!
Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye. *Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu."*
*WAEBRANIA 5:4:-" Na hapana mtu ajitwaliaye mwenyewe heshima hii, ILA YEYE AITWAYE NA MUNGU*, kama vile Haruni ".
Na kwa maana hiyo. Ngazi yoyote ya utumishi katika huduma mtu huwekwa na Mungu . Mungu akiamua kumwita mwanamke awe mchungaji, atakuwa ni Mchungaji tu na Mungu atajidhihirisha kwake kwa kumthibitisha kwamba yeye ndiye aliyemuita. *Wako wachungaji wanawake na wahubiri duniani ambao Mungu anawatumia kwa viwango vya juu sana katika huduma zao*. Hatuwezi kukanusha na kupinga utumishi wao kwa sababu tu ya kijinsia. *Yesu alisema kama hamniamini mimi, ziamini zile kazi , kwa kuwa kazi zenyewe zanishuhudia ya kwamba Baba Mungu amenituma*.
[ YOHANA 5:36; YOHANA 10:25, 36-38; YOHANA 14:10-12].
*HOJA YAO YA PILI.*
*Watasema hata maandiko yanamtaja kwamba mwanaume ndiye anayepaswa kuwa Mchungaji (Askofu). Uaskofu ni ngazi ya juu ya madaraka ya kichungaji*.
Na watatumia Andiko lao hili lifuatalo katika
*1 TIMOHEO 3:1-12:-*
1-7. Ni neno la kuaminiwa; *mtu akitaka kazi ya askofu*, atamani kazi njema. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, *MUME(MWANAUME) wa mke mmoja*, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha; mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu; (yaani, mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje Kanisa la Mungu?)
Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.
Tena imempasa kushuhudiwa mema na watu walio nje; ili asianguke katika lawama na mtego wa Ibilisi.
8-12. *Vivyo hivyo mashemasi* na wawe wastahivu; si wenye kauli mbili, si watu wa kutumia mvinyo sana, si watu wanaotamani fedha ya aibu; wakiishika siri ya imani katika dhamiri safi. Hawa pia na wajaribiwe kwanza; baadaye waitende kazi ya shemasi, wakiisha kuonekana kuwa hawana hatia. Vivyo hivyo wake zao na wawe wastahivu; si wasingiziaji; watu wa kiasi, waaminifu katika mambo yote.
*Mashemasi na wawe WAUME wa mke mmoja*, wakiwasimamia watoto wao vizuri, na nyumba zao. Kwa maana watendao vema kazi ya shemasi hujipatia daraja nzuri, na ujasiri mwingi katika imani iliyo katika Kristo Yesu. "
Ni muhimu kuelewa vizuri Andiko hilo kwa kusema *mwanaume hapo ndiwe Askofu*. Haimanishi kwamba basi limemkataza Mwanamke asiwe mchungaji au Askofu. Hapana. Kwa sababu ukitazama mukadha mzima wa maelezo yote ya Andiko nzima, yameendelea kusema pia *" MASHEMASI NA WAWE WAUME wa mke mmoja "*. Sasa Je, kwa kusema hivyo tuseme Paulo Mtume hapo hakuwaruhusu pia wanawake wasiwe washemasi kwa sababu tu amewataja wanaume? Jibu ni hapana.
Tunaona pia walikuwepo *MASHEMASI WANAWAKE* ambao pia Paulo mtume aliwachagua katika kanisa. Ukisoma katika *WARUMI 16:1*, Biblia inasema:- *" Namkabidhi kwenu Fibi, Ndugu yetu, aliye muhudumu wa kanisa lililoko Kenkrea"*. Mstari huo katika Biblia ya kingereza ya *New International Version*, unasomeka hivi, *Romans 16:1:-" I commend to you our Sister Phoebe, a Servant (deaconess) of the church in Cenchrea"*.
Kwa hiyo tunaona hapo juu ya Shemasi Mwanamke ingawa katika Waraka wa Timotheo wanatajwa tu kuwa mashemasi wanaume tu. Kwa maana hiyo tunapata kuelewa kwamba Andiko la *1 TIMOTHEO 3:1-12*, Ingawa liliwataja maaskofu na mashemasi kuwa wanaume hapo , lakini hakumaishi kwa wanaume tu pekee yao , bali hata wanawake pia wanaweza kuwa mashemasi, na vilevile wachungaji (maaskofu) pia kwa msingi huo.
Ni muhimu kuyaelewa maandiko ya Biblia vizuri sio kila mahali andiko linapotaja jambo kwa upande mmoja linamainisha tu kwa upande mmoja pekee yake . Hapana. *Linaweza kutajwa kwa upande mmoja, lakini halikumainishi kuishia tu kwa upande mmoja, bali kwa pande zote mbili*. Kwa mfano , Yesu alisema, kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake [ MATHAYO 5:27-28].
Sasa Swali la ufaham :- *Andiko hilo hapo linamgusa tu mwanaume kumtamani mwanamke ndio dhambi. Lakini Je, tuseme mwanamke naye akimtamani mwanaume kiuasherati, itakuwa siyo dhambi?* Kwa sababu tu eti Andiko hilo limemtaja tu mwanaume hapo? Jibu ni la!
Na kwa msingi huo huo hata kama Biblia imewataja wanaume kuwa ndio wawe maaskofu na mashemasi. Neno hilo halikuishia kumainisha tu kwa wanaume pekee yao bali hata kwa wanawake pia wanaweza kuwa wachungaji au maaskofu, mashemasi, mitume, manabii n.k.
Ni muhimu kufaham Biblia inasema katika *MATENDO 10:34-35:-*
*" Petro akafumbua kinywa chake, akasema, HAKIKA NATAMBUA YA KUWA MUNGU HANA UPENDELEO; bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye. "*
Kusema kwamba mwanaume tu ndio anayepasa kuhubiri na kuwa Mchungaji lakini mwanamke hafai kwa lolote. Huo ni upendeleo. Mungu wetu hana upendeleo wa aina yoyote ile , kila mtu awe ni mwanaume au mwanamke bado Mungu anaweza kuwatumia wote sawasawa katika nafasi yoyote ile ya utumishi iwe ni uchungaji na kadhalika.
Ni muhimu kufaham katika suala la utumishi wowote mbele za Mungu. Mwanaume hawezi kujivuna na kujiinua kwamba yeye anastahili sana zaidi ya mwanamke. Katika imani ya wokovu iliyobeba utumishi ndani yake, sisi wote ni sawasawa mbele za Mungu. Hakuna mmoja aliye bora wa kujiinua juu zaidi ya mwingine. Biblia inasema katika
*1 WAKORINTHO 12:17-27:-*
*" BALI MUNGU AMEVITIA VIUNGO KILA KIMOJA KATIKA MWILI KAMA ALIVYOTAKA*. Lakini kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
Lakini sasa viungo ni vingi, ila mwili ni mmoja. Na jicho haliwezi kuuambia mkono, Sina haja na wewe; wala tena kichwa hakiwezi kuiambia miguu, Sina haja na ninyi. *Bali zaidi sana vile viungo vya mwili vidhaniwavyo kuwa vinyonge zaidi vyahitajiwa zaidi. Na vile viungo vya mwili vidhaniwavyo kuwa havina heshima, viungo vile twavipa heshima zaidi; na viungo vyetu visivyo na uzuri vina uzuri zaidi sana*. Kwa maana viungo vyetu vilivyo na uzuri havina uhitaji; bali Mungu ameuungamanisha mwili, na *kukipa heshima zaidi kile kiungo kilichopungukiwa;* ili kusiwe na faraka katika mwili, *bali viungo vitunzane kila kiungo na mwenziwe*. Na kiungo kimoja kikiumia, viungo vyote huumia nacho, *na kiungo kimoja kikitukuzwa, viungo vyote hufurahi pamoja nacho*. Basi ninyi mmekuwa mwili wa Kristo, na viungo kila kimoja peke yake. Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza.............."
*YOHANA 6: 28-29:-*
*"Basi wakamwambia, Tufanyeje ili tupate KUZITENDA KAZI ZA MUNGU ? Yesu akajibu, akawaambia, Hii ndiyo kazi ya Mungu, mmwamini yeye aliyetumwa na yeye."*
*WAGALATIA 3:26-29:-*
*"Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. HAPANA MTU MUME WALA MTU MKE. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu."*.
Maandiko hayo kwa ujumla wake yanatufundisha Mungu ndiye anaweza kuamua kumuweka mtu yoyote katika nafasi yoyote ya utumishi wa kazi ya huduma ya Mungu , huyu hivi na yule vile. Na kwa Mungu hakuna kigezo cha ubaguzi wowote wa jinsia katika nafasi yoyote ya kumtumikia .Na kwa maana hiyo *WANAUME NA WANAWAKE WOTE KWA PAMOJA WANAWEZA KUWA WAHUBIRI, WACHUNGAJI, MITUME N. k.*
Mwanaume huyu Akila na Mwanamke huyu Priska, mke na mume. Kwa pamoja wote wanatajwa kila mmoja wao katika kuhusika kuifanya kazi ya Mungu ya uchungaji waliokuwa nayo juu ya kanisa.
*[ WARUMI 16:3-4. ]*
Somo hili litaendelea sehemu ya pili........
πΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ
Unakaribishwa pia kujiunga na group letu.
Mtumishi wa Mungu aliye hai.
*MWL, REV:- ODRICK BRYSON*
*SIMU (0759 386 988; 0717 591 466)*.
Whatsap group.
Email :- Odrick 16@gmail. Com.
*" KWELI YOTE YA NENO LA MUNGU ISIYOGOSHIWA"*.
[ 2 WAKORINTO 2:17 ]
πΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊπΊ
Monday, April 2, 2018
SOMO:JINSI YA KUIFAHAMU MIUJIZA YA MUNGU NA ISHARA ZA UONGO ZA MANABII WA UONGO (PART 1)
NENO LA MSINGI:
2 WATHESALONIKE 2:9:
"Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa KUTENDA KWAKE SHETANI, KWA UWEZO WOTE, NA ISHARA NA AJABU ZA UONGO."
Katika somo la leo la Kanisa la Nyumbani, tunajifunza somo muhimu linaloambatana na majira tuliyo nayo ya nyakati za mwisho. Siku hizi, mahali pengi duniani ikiwamo Tanzania, kumezuka watu wa kila namna wakisema ni watumishi wa Mungu na kwamba wamepewa karama ya kutenda miujiza kwa ajili ya kuwasaidia watu. Kwa sababu hii, watu kila mahali wanamiminika kuwafuata, wakihitaji watoto au uponyaji mbalimbali wa mwili. Sehemu nyingine watu hao wanaodaiwa kuwa ni watumishi wa Mungu, wanatumia maji ya baraka kuponya; wengine wanatumia sanamu ya Bikira Maria; wengine wanawapeleka watu makaburini; wengine wanakwenda kupewa maji mahali inaposemekana alitokea Bikira Maria; wengine wanapewa madaftari ambamo humo wameandikiwa kwamba "Mungu" amesema watazaa mtoto wa kiume na wameandikiwa jina la kumwita, au mtoto wa kike na jina ambalo "Mungu" amemchagulia, na kupeleka madaftari hayo kila mara kuombewa na kukatazwa kwenda kliniki n.k. Wengine wamebeba "mimba" zilizotokana na maombezi ya watu hawa kwa miaka miwili bila kujifungua na kupata mateso makali mno. Wengine wameshuhudia kwamba wamepona kabisa baada ya kuhudumiwa na watu wa jinsi hiyo. Hapa ndipo penye mtego. Ili tusinaswe na mitego ya namna hii, Kanisa la Mungu linapaswa kufahamu Biblia inasema nini kuhusu Miujiza, Ishara na Ajabu za Mungu na zile za Shetani.
SHETANI ANA UWEZO WA KUFANYA MIUJIZA, ISHARA NA AJABU ZA UONGO
Miujiza kadhaa kwa kipimo kidogo cha uwezo ulio na mpaka. Wakati wana wa Israeli walipokuwa hawajatoka Misri, waganga na wachawi wa Farao, walifanya miujiza kwa uwezo wa shetani:
(a) Wachawi hawa walipozibwaga fimbo zao chini, ziligeuka kuwa nyoka kwa mfano wa muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA 7:8-12]
(b) Wachawi hawa walifanya muujiza wa kubadilisha maji kuwa damu kwa mfano wa muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA 7:19-22].
Unaona! Shetani ana uwezo wa kufanya miujiza na ishara. Biblia inasema katika:
UFUNUO WA YOHANA 16:14:
"Hizo ndizo roho za MASHETANI, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote, kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi."
Wakati wa dhiki Kuu, roho za Mashetani zitafanya ishara kubwa, hata kufanya moto kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu. [SOMA UFUNUO 13:11-13].
Lakini pamoja na ufahamu huu ulio nao sasa kwamba Shetani ana uwezo wa kufanya ishara na miujiza, bado inakupasa kufahamu jambo moja. Shetani ana mpaka katika uwezo wake wa kufanya miujiza. Hana uwezo wa Mungu wa KUTENDA MAMBO YOTE. Shetani hawezi kutenda mambo yote. Wachawi na waganga wa Farao ingawa walifanya miujiza tuliyoiona, hata hivyo walishindwa kufanya muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni; pale walipoyabadilisha mavumbi ya nchi kuwa chawa. Wachawi hao waliposhindwa walikiri mbele ya Farao kwamba uwezo wa Mungu uko juu mno kuliko uwezo wao. [SOMA KUTOKA 8:16-19]. Wachawi na waganga wa Farao pia walishindwa kuzuia majipu yenye kufura yaliyotumbuka juu ya wanadamu wote wa Misri kutokana na mavumbi aliyoyarusha Musa hewani. Wachawi hao nao walipigwa majipu hayo [SOMA KUTOKA 9:8-11]. Fimbo ya Haruni ilizimeza fimbo za wachawi kudhihirisha uwezo wa Mungu ulivyo mkubwa mno kuliko wa majeshi yote ya shetani [SOMA KUTOKA 7:11-12].
ISHARA, AJABU NA MIUJIZA YA SHETANI WAKATI WOTE INA LENGO LA KUWAPOTEZA WANADAMU ILI WAANGAMIZWE
MATHAYO 24:24:
"Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu WAPATE KUWAPOTEZA, kama yamkini, hata walio wateule."
Ishara, ajabu na Miujiza ya Shetani ndiyo maana inaitwa pia "NGUVU YA UPOTEVU" kwa jinsi ambavyo miujiza hiyo ilivyo madanganyo ya udhalimu kwa hao wanaopotea ambao hawataki kuiamini kweli ya Mungu na kuokolewa na hatimaye kuzidi kuipenda kweli katika wokovu. Nguvu hiyo ya upotevu juu ya wanadamu, hatimaye inawafanya wanadamu hao kuhukumiwa na kwenda Jehanum ya moto. [SOMA 2 WATHESALONIKE 2:7-12]. Kwa sababu hii, Kanisa la Mungu lazima liwe macho na kufahamu waziwazi jinsi ya kuzifahamu ishara, ajabu na miujiza ya Shetani na kutofautisha na ile itokanayo na Mungu. Kwa maarifa haya, ni rahisi kuziepuka kazi zote za Shetani na manabii wake; na pia kuwasaidia wengine waliokwisha kunaswa.
ALAMA TISA ZINAZOAMBATANA NA ISHARA, AJABU NA MIUJIZA
INAYOTOKANA NA MUNGU
Kwa kuangalia alama hizi tisa zifuatazo, na kuhakikisha kwamba ZOTE ZINAKUWEPO; ndipo tunapoweza kuzitambua ishara, ajabu na miujiza inayotokana na Mungu na kuifahamu na kukwepa miujiza ya Shetani na manabii wake:
(1) Mtu anayetumiwa kufanya ishara, ajabu au miujiza na Mungu, inabidi awe ameamini au kuokolewa; akikiri mwenyewe wokovu ulio katika Kristo Yesu na kuushuhudia.
MARKO 16:17; "Na ishara hizi zitafuatana na hao WAAMINIO .....".
Mtu yeyote asiyeokolewa na kukiri wokovu na kuushuhudia, hawezi kufanya miujiza itokanayo na Mungu. Miujiza hiyo hutokana na Shetani.
(2) Huduma ya Uponyaji au Ishara yoyote inayotokana na Mungu lazima iambatane na Biblia au Neno la Mungu kwa kuwa Neno la Mungu ndiyo dawa ya Ugonjwa na tena ndilo linalofanya
miujiza. Huduma yoyote ya uponyaji wa miujiza isiyoambatana na Biblia au Neno la Mungu, inatokana na Shetani.
ZABURI 107:20: "HULITUMIA NENO LAKE, HUWAPONYA, huwatoa katika maangamizo yao."
MITHALI 4:20-22: "Mwanangu, SIKILIZA MANENO YANGU; ....UZISIKIE KAULI ZANGU .....MAANA NI UHAI kwa wale wazipatao, na AFYA YA MWILI WAO WOTE."
YOHANA 6:63: ".....MANENO HAYO NILIYOWAAMBIA niroho tena NI UZIMA."
(3) Huduma yoyote ya Uponyaji wa Miujiza inayotokana na Mungu, LAZIMA iambatane na kuhubiri Injili na kufundisha Neno la Mungu, Angalia maandiko:
(a) HUDUMA YA YESU:
(i) Kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao na vipofu kupata kuona tena, KULIAMBATANA na kuwahubiri maskini habari njema [SOMA LUKA 4:18].
(ii) Yesu alipokuwa akifundisha Neno la Mungu ndipo uweza wa Bwana ulipokuwapo kuponya:
LUKA 4:17:
"Ikawa siku zile mojawapo ALIKUWA AKIFUNDISHA .... NA UWEZA WA BWANA ULIKUWAPO APATE KUPONYA."
(4) YESU ALIPOWATUMA WANAFUNZI KUFANYA HUDUMA YA UPONYAJI
Wakati wote Yesu Kristo alipowatuma wanafunzi wake na kuwapa uwezo wa kuponya maradhi, au kuwaambia wapoze wagonjwa kwa miujiza; jambo hilo LILIAMBATANA na kutumwa kuhubiri au kuutangaza ufalme wa Mungu. Mambo haya mawili lazima yaende pamoja.
LUKA 9:1-2: "Akawaita wale Thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi. Akawatuma WAUTANGAZE UFALME WA MUNGU NA KUPOZAWAGONJWA."
LUKA 10:1-2, 9: "Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine,sabini, akawatuma wawili wawili .... Akawaambia ... WAPOZENI WAGONJWA waliomo, WAAMBIENI, UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA."
MATHAYO 10:7-8: "Na katika kuenenda kwenu, HUBIRINI,mkisema, Ufalme wa Mbinguni umekaribia. POZENI WAGONJWA, FUFUENI WAFU, TAKASENI WENYE UKOMA, TOENI PEPO; mmepata bure, toeni bure."
Katika kujifunza juu ya Huduma ya Yesu ya miujiza na uponyaji, na ile ambayo aliwapa wanafunzi wake; umeona kwamba kuponya wagonjwa kwa miujiza na kufanya ishara na ajabu zinazotokana na Mungu, LAZIMA kuambatane na kuhubiri Injili, na kuwaambia watu watubu dhambi zao na kuokolewa maana ufalme wa Mungu umekaribia. Ukimwona mtu anasema ni mtumishi wa Mungu na kwamba eti amepewa karama na Mungu kuponya wagonjwa, halafu akawa nyumbani kwake tu au ofisini kwake na watu wanamwijia kuponywa bila kuelezwa habari za kutubu na kuokolewa, ufahamu huyo ni nabii wa uongo, na anatumia NGUVU YA UPOTEVU ya Shetani kufanya ishara za uongo. Uponyaji wa Miujiza wa Mungu hauwi kama hospitali ambapo watu wanaenda kupewa vidonge tu bila kuhubiriwa Injili. Miujiza lazima iambatane na kuhubiri Injili. Mtu ukimsikia anasema yeye amepewa karama na Mungu kuponya wagonjwa tu, lakini hakupewa karama ya kuhubiri; hivyo kuhubiri amewaachia wengine, ujue huyo ni nabii wa uongo. Yeyote aliyepewa kufanya miujiza na Mungu, pia huyohuyo atahubiri Injili. Yesu, Petro, Paulo, Filipo na yeyote katika Biblia walifanya miujiza PAMOJA NA kuhubiri Injili.
Uponyaji wowote, muujiza wowote, au ishara yoyote inayofanywa kutokana na Mungu LAZIMA IFANYWE KWA JINA LA YESU SOMA: LUKA 10:17; MATENDO 4:30; MARKO 16:17; MATENDO 3:6; MATENDO 4:10; MATENDO 3:13, 16; MATENDO 16:18. Jina la Yesu, ndilo linalomtia mtu dhaifu, nguvu. Imani katika Yesu ndiyo inayoleta uzima [MATENDO 3:16]. Ukimwona mtu anayejiita mtumishi wa Mungu na kwamba anaombea wagonjwa, lakini halitumii Jina la Yesu ila anamtaja "Mungu" tu; ujue mtu huyo ni nabii wa uongo. Hakuna muujiza wowote wa Mungu pasipo kulitaja jina la Yesu! "PEPO WANATUTII KWA JINA LAKO", "KWA JINA LANGU WATATOA PEPO." Siyo kwa jina la Mungu au kwa kumtaja Mungu ila kwa jina la Yesu. LAZIMA Yesu atajwe katika kuufanya muujiza unaotokana na Mungu.
(5) Mtu anayetumiwa kufanya miujiza, ishara au ajabu na Mungu, hukusanya pamoja na Yesu, na kutumia miujiza kuliongeza Kanisa la Mungu kwa wale waaminio au wanaookolewa. Lengo la Mungu kutoa uwezo wa kufanya miujiza kwa watumishi wake, ni kuwafanya wasioamini waweze kuamini kwa kuziona nguvu za Mungu. Huduma yoyote ya miujiza isiyokuwa na lengo la kuwaongeza walioamini kwa Bwana Yesu au katika Kanisa la Mungu siyo huduma ya Mungu.
MATENDO 5:12,14:
"Na kwa mikono ya mitume zikafanyika ishara na maajabu mengi katika watu; ....walioamini wakazidi kwa Bwana, wengi, wanaume na wanawake".
Miujiza hutumika kukusanya watu na kuwaleta katika Kanisa ambalo kiongozi wake ni Yesu [SOMA PIA LUKA 11:23; MATHAYO 23:37; ZABURI 50:5].
INAENDELEA.................
KWA MAWASILIANO NAMI
SHUJAA Charles Mwaisemba
0712-054498/0759-420202
Limefundishwa na ASKOFU ZACHARY KAKOBE
NENO LA MSINGI:
2 WATHESALONIKE 2:9:
"Yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa KUTENDA KWAKE SHETANI, KWA UWEZO WOTE, NA ISHARA NA AJABU ZA UONGO."
Katika somo la leo la Kanisa la Nyumbani, tunajifunza somo muhimu linaloambatana na majira tuliyo nayo ya nyakati za mwisho. Siku hizi, mahali pengi duniani ikiwamo Tanzania, kumezuka watu wa kila namna wakisema ni watumishi wa Mungu na kwamba wamepewa karama ya kutenda miujiza kwa ajili ya kuwasaidia watu. Kwa sababu hii, watu kila mahali wanamiminika kuwafuata, wakihitaji watoto au uponyaji mbalimbali wa mwili. Sehemu nyingine watu hao wanaodaiwa kuwa ni watumishi wa Mungu, wanatumia maji ya baraka kuponya; wengine wanatumia sanamu ya Bikira Maria; wengine wanawapeleka watu makaburini; wengine wanakwenda kupewa maji mahali inaposemekana alitokea Bikira Maria; wengine wanapewa madaftari ambamo humo wameandikiwa kwamba "Mungu" amesema watazaa mtoto wa kiume na wameandikiwa jina la kumwita, au mtoto wa kike na jina ambalo "Mungu" amemchagulia, na kupeleka madaftari hayo kila mara kuombewa na kukatazwa kwenda kliniki n.k. Wengine wamebeba "mimba" zilizotokana na maombezi ya watu hawa kwa miaka miwili bila kujifungua na kupata mateso makali mno. Wengine wameshuhudia kwamba wamepona kabisa baada ya kuhudumiwa na watu wa jinsi hiyo. Hapa ndipo penye mtego. Ili tusinaswe na mitego ya namna hii, Kanisa la Mungu linapaswa kufahamu Biblia inasema nini kuhusu Miujiza, Ishara na Ajabu za Mungu na zile za Shetani.
SHETANI ANA UWEZO WA KUFANYA MIUJIZA, ISHARA NA AJABU ZA UONGO
Miujiza kadhaa kwa kipimo kidogo cha uwezo ulio na mpaka. Wakati wana wa Israeli walipokuwa hawajatoka Misri, waganga na wachawi wa Farao, walifanya miujiza kwa uwezo wa shetani:
(a) Wachawi hawa walipozibwaga fimbo zao chini, ziligeuka kuwa nyoka kwa mfano wa muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA 7:8-12]
(b) Wachawi hawa walifanya muujiza wa kubadilisha maji kuwa damu kwa mfano wa muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni [SOMA KUTOKA 7:19-22].
Unaona! Shetani ana uwezo wa kufanya miujiza na ishara. Biblia inasema katika:
UFUNUO WA YOHANA 16:14:
"Hizo ndizo roho za MASHETANI, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote, kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi."
Wakati wa dhiki Kuu, roho za Mashetani zitafanya ishara kubwa, hata kufanya moto kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu. [SOMA UFUNUO 13:11-13].
Lakini pamoja na ufahamu huu ulio nao sasa kwamba Shetani ana uwezo wa kufanya ishara na miujiza, bado inakupasa kufahamu jambo moja. Shetani ana mpaka katika uwezo wake wa kufanya miujiza. Hana uwezo wa Mungu wa KUTENDA MAMBO YOTE. Shetani hawezi kutenda mambo yote. Wachawi na waganga wa Farao ingawa walifanya miujiza tuliyoiona, hata hivyo walishindwa kufanya muujiza alioufanya Mungu kwa kuwatumia Musa na Haruni; pale walipoyabadilisha mavumbi ya nchi kuwa chawa. Wachawi hao waliposhindwa walikiri mbele ya Farao kwamba uwezo wa Mungu uko juu mno kuliko uwezo wao. [SOMA KUTOKA 8:16-19]. Wachawi na waganga wa Farao pia walishindwa kuzuia majipu yenye kufura yaliyotumbuka juu ya wanadamu wote wa Misri kutokana na mavumbi aliyoyarusha Musa hewani. Wachawi hao nao walipigwa majipu hayo [SOMA KUTOKA 9:8-11]. Fimbo ya Haruni ilizimeza fimbo za wachawi kudhihirisha uwezo wa Mungu ulivyo mkubwa mno kuliko wa majeshi yote ya shetani [SOMA KUTOKA 7:11-12].
ISHARA, AJABU NA MIUJIZA YA SHETANI WAKATI WOTE INA LENGO LA KUWAPOTEZA WANADAMU ILI WAANGAMIZWE
MATHAYO 24:24:
"Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu WAPATE KUWAPOTEZA, kama yamkini, hata walio wateule."
Ishara, ajabu na Miujiza ya Shetani ndiyo maana inaitwa pia "NGUVU YA UPOTEVU" kwa jinsi ambavyo miujiza hiyo ilivyo madanganyo ya udhalimu kwa hao wanaopotea ambao hawataki kuiamini kweli ya Mungu na kuokolewa na hatimaye kuzidi kuipenda kweli katika wokovu. Nguvu hiyo ya upotevu juu ya wanadamu, hatimaye inawafanya wanadamu hao kuhukumiwa na kwenda Jehanum ya moto. [SOMA 2 WATHESALONIKE 2:7-12]. Kwa sababu hii, Kanisa la Mungu lazima liwe macho na kufahamu waziwazi jinsi ya kuzifahamu ishara, ajabu na miujiza ya Shetani na kutofautisha na ile itokanayo na Mungu. Kwa maarifa haya, ni rahisi kuziepuka kazi zote za Shetani na manabii wake; na pia kuwasaidia wengine waliokwisha kunaswa.
ALAMA TISA ZINAZOAMBATANA NA ISHARA, AJABU NA MIUJIZA
INAYOTOKANA NA MUNGU
Kwa kuangalia alama hizi tisa zifuatazo, na kuhakikisha kwamba ZOTE ZINAKUWEPO; ndipo tunapoweza kuzitambua ishara, ajabu na miujiza inayotokana na Mungu na kuifahamu na kukwepa miujiza ya Shetani na manabii wake:
(1) Mtu anayetumiwa kufanya ishara, ajabu au miujiza na Mungu, inabidi awe ameamini au kuokolewa; akikiri mwenyewe wokovu ulio katika Kristo Yesu na kuushuhudia.
MARKO 16:17; "Na ishara hizi zitafuatana na hao WAAMINIO .....".
Mtu yeyote asiyeokolewa na kukiri wokovu na kuushuhudia, hawezi kufanya miujiza itokanayo na Mungu. Miujiza hiyo hutokana na Shetani.
(2) Huduma ya Uponyaji au Ishara yoyote inayotokana na Mungu lazima iambatane na Biblia au Neno la Mungu kwa kuwa Neno la Mungu ndiyo dawa ya Ugonjwa na tena ndilo linalofanya
miujiza. Huduma yoyote ya uponyaji wa miujiza isiyoambatana na Biblia au Neno la Mungu, inatokana na Shetani.
ZABURI 107:20: "HULITUMIA NENO LAKE, HUWAPONYA, huwatoa katika maangamizo yao."
MITHALI 4:20-22: "Mwanangu, SIKILIZA MANENO YANGU; ....UZISIKIE KAULI ZANGU .....MAANA NI UHAI kwa wale wazipatao, na AFYA YA MWILI WAO WOTE."
YOHANA 6:63: ".....MANENO HAYO NILIYOWAAMBIA niroho tena NI UZIMA."
(3) Huduma yoyote ya Uponyaji wa Miujiza inayotokana na Mungu, LAZIMA iambatane na kuhubiri Injili na kufundisha Neno la Mungu, Angalia maandiko:
(a) HUDUMA YA YESU:
(i) Kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao na vipofu kupata kuona tena, KULIAMBATANA na kuwahubiri maskini habari njema [SOMA LUKA 4:18].
(ii) Yesu alipokuwa akifundisha Neno la Mungu ndipo uweza wa Bwana ulipokuwapo kuponya:
LUKA 4:17:
"Ikawa siku zile mojawapo ALIKUWA AKIFUNDISHA .... NA UWEZA WA BWANA ULIKUWAPO APATE KUPONYA."
(4) YESU ALIPOWATUMA WANAFUNZI KUFANYA HUDUMA YA UPONYAJI
Wakati wote Yesu Kristo alipowatuma wanafunzi wake na kuwapa uwezo wa kuponya maradhi, au kuwaambia wapoze wagonjwa kwa miujiza; jambo hilo LILIAMBATANA na kutumwa kuhubiri au kuutangaza ufalme wa Mungu. Mambo haya mawili lazima yaende pamoja.
LUKA 9:1-2: "Akawaita wale Thenashara, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi. Akawatuma WAUTANGAZE UFALME WA MUNGU NA KUPOZAWAGONJWA."
LUKA 10:1-2, 9: "Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine,sabini, akawatuma wawili wawili .... Akawaambia ... WAPOZENI WAGONJWA waliomo, WAAMBIENI, UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA."
MATHAYO 10:7-8: "Na katika kuenenda kwenu, HUBIRINI,mkisema, Ufalme wa Mbinguni umekaribia. POZENI WAGONJWA, FUFUENI WAFU, TAKASENI WENYE UKOMA, TOENI PEPO; mmepata bure, toeni bure."
Katika kujifunza juu ya Huduma ya Yesu ya miujiza na uponyaji, na ile ambayo aliwapa wanafunzi wake; umeona kwamba kuponya wagonjwa kwa miujiza na kufanya ishara na ajabu zinazotokana na Mungu, LAZIMA kuambatane na kuhubiri Injili, na kuwaambia watu watubu dhambi zao na kuokolewa maana ufalme wa Mungu umekaribia. Ukimwona mtu anasema ni mtumishi wa Mungu na kwamba eti amepewa karama na Mungu kuponya wagonjwa, halafu akawa nyumbani kwake tu au ofisini kwake na watu wanamwijia kuponywa bila kuelezwa habari za kutubu na kuokolewa, ufahamu huyo ni nabii wa uongo, na anatumia NGUVU YA UPOTEVU ya Shetani kufanya ishara za uongo. Uponyaji wa Miujiza wa Mungu hauwi kama hospitali ambapo watu wanaenda kupewa vidonge tu bila kuhubiriwa Injili. Miujiza lazima iambatane na kuhubiri Injili. Mtu ukimsikia anasema yeye amepewa karama na Mungu kuponya wagonjwa tu, lakini hakupewa karama ya kuhubiri; hivyo kuhubiri amewaachia wengine, ujue huyo ni nabii wa uongo. Yeyote aliyepewa kufanya miujiza na Mungu, pia huyohuyo atahubiri Injili. Yesu, Petro, Paulo, Filipo na yeyote katika Biblia walifanya miujiza PAMOJA NA kuhubiri Injili.
Uponyaji wowote, muujiza wowote, au ishara yoyote inayofanywa kutokana na Mungu LAZIMA IFANYWE KWA JINA LA YESU SOMA: LUKA 10:17; MATENDO 4:30; MARKO 16:17; MATENDO 3:6; MATENDO 4:10; MATENDO 3:13, 16; MATENDO 16:18. Jina la Yesu, ndilo linalomtia mtu dhaifu, nguvu. Imani katika Yesu ndiyo inayoleta uzima [MATENDO 3:16]. Ukimwona mtu anayejiita mtumishi wa Mungu na kwamba anaombea wagonjwa, lakini halitumii Jina la Yesu ila anamtaja "Mungu" tu; ujue mtu huyo ni nabii wa uongo. Hakuna muujiza wowote wa Mungu pasipo kulitaja jina la Yesu! "PEPO WANATUTII KWA JINA LAKO", "KWA JINA LANGU WATATOA PEPO." Siyo kwa jina la Mungu au kwa kumtaja Mungu ila kwa jina la Yesu. LAZIMA Yesu atajwe katika kuufanya muujiza unaotokana na Mungu.
(5) Mtu anayetumiwa kufanya miujiza, ishara au ajabu na Mungu, hukusanya pamoja na Yesu, na kutumia miujiza kuliongeza Kanisa la Mungu kwa wale waaminio au wanaookolewa. Lengo la Mungu kutoa uwezo wa kufanya miujiza kwa watumishi wake, ni kuwafanya wasioamini waweze kuamini kwa kuziona nguvu za Mungu. Huduma yoyote ya miujiza isiyokuwa na lengo la kuwaongeza walioamini kwa Bwana Yesu au katika Kanisa la Mungu siyo huduma ya Mungu.
MATENDO 5:12,14:
"Na kwa mikono ya mitume zikafanyika ishara na maajabu mengi katika watu; ....walioamini wakazidi kwa Bwana, wengi, wanaume na wanawake".
Miujiza hutumika kukusanya watu na kuwaleta katika Kanisa ambalo kiongozi wake ni Yesu [SOMA PIA LUKA 11:23; MATHAYO 23:37; ZABURI 50:5].
INAENDELEA.................
KWA MAWASILIANO NAMI
SHUJAA Charles Mwaisemba
0712-054498/0759-420202
Limefundishwa na ASKOFU ZACHARY KAKOBE
Sunday, March 18, 2018
MAMBO 12 YANAYOWEZA KUKUSAIDIA KUONGEZA NGUVU YA KUOMBA
Kuna mambo mengi sana yanayoweza kukusaidia ili nguvu yako ya maombi na kujibiwa kuongezeka. Tuangalie haya mambo 12:
1. TOBA NA UTAKASO: Kabla ya kuanza kuomba, omba toba kwa ajili yako na yule unayemuombea, jisafishe kwa Damu ya Yesu Kristo, na pia takasa eneo ambalo unaomba na kulikomboa katika ulimwengu wa roho. Nguvu yako ya kuomba inaweza kutegemea eneo ulipo. Hujawahi kuona kuna maeneo unaweza kuomba vizuri lakini kuna maeneo mengine ukishaenda nguvu ya kuomba haipo. Wengine akiwa kwenye kikundi cha maombi kanisani anakuwa na nguvu sana ya kuomba lakini akishafika nyumbani, nguvu yote inaisha. Unadhani shida ipo wapi? Eneo ni muhimu sana katika ulimwengu wa roho.
2. IJUE MAANA YA KUOMBA: Kuomba ni njia mojawapo ya kuzungumza na Mungu wetu. Unapomuita Mungu kwa kuomba anakusikiliza (Yeremia 29:12). “BWANA yu karibu kwa wote wamwitao, Wote wamwitao kwa uaminifu”(Zaburi 145:18). Na njia mojawapo ya kumwita Mungu ni kwa njia ya maombi. “Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua”(Yeremia 33:3). Neno “mambo usiyoyajua” tukiliangalia kwa undani tunaona ni “mafunuo ya Mungu.” Kwa hiyo kuomba kunamfanya Mungu akupe mafunuo(revelation). Hivyo dumu katika kuomba (Wakolosai 4:2) kwani maombi ya mwenye haki yana nguvu (Yakobo 5:16).
3. MUDA: Muda/wakati ni muhimu sana katika ulimwengu wa roho hasa katika kuomba. Waefeso 5:16 inasema “tuukomboe wakati.” Maana yake wakati umetekwa na ibilisi. Moja ya silaha ambazo shetani anatumia kuua maombi ni kutumia muda. Akiweza kuuteka muda wako ameuwa maombi yako. Shetani alitumia sheria kujaribu kufunga muda wa maombi kwa kina Daniel siku 30 (Daniel 4). Kwa kuwa sheria sasa imeandikwa katika mioyo yetu Waebrania 10:16), muda unafungwa katika ulimwengu wa roho na matokeo yanatokea katika mwili.
Kuna watu ambao katika ulimwengu wa roho, shetani amefunga muda wao labda masaa 23 kwa siku. Maana yake katika siku huwezi kufanya maombi zaidi ya saa moja. Pia wengine muda wao umefungwa masaa 23 na dakika 45. Maana yake huwezi kuomba effectively zaidi ya dakika 15. Dakika 15 za mwanzo utaomba vizuri ila zikianza kuzidi, utaanza kupata uzito wa ajabu. Na kuna watu muda wao wa kuomba umefungwa masaa 24 kwa siku. Kwa huyu mtu hata kuomba dakika 5 ni kazi na ukianza tu kuomba, hapo hapo unaanza kusikia uzito. Kumbuka muda unafungwa katika ulimwengu wa roho, hivyo ukitaka kuukomboa, lazima uukomboe katika ulimwengu wa roho.
Na ukianza kufanya maombi ya kukomboa wakati sawa na Waefeso 5:16, shetani atakupiga vita. Lakini unaweza kuanza kukomboa kidogo kidogo. Mfano unashangaa ulikuwa huwezi kuomba nusu saa sasa unaweza. Baadae unaenda unaweza kuomba saa moja na kuendelea. Kama ulikuwa huwezi kuomba hata dakika 5 ni vigumu kuanza ghafla tu uweze kuomba kwa masaa 3 mfululizo. Maombi ya kuukomboa wakati ni maombi ya kufanya mara kwa mara.
4. KUWA NA NENO: Moja ya maombi ambayo yana nguvu sana ni maombi kwa kutumia neno la Mungu kwa imani. Unapokuwa unaomba kutumia neno la Mungu unamkumbusha Mungu kuwa yeye ni nani kwako. Neno la Mungu ni agano amefunga na wewe hivyo ukitumia neno unamkumbusha Mungu juu ya agano alilofunga na wewe. Mfano kama unahitaji uponyaji, unaweza kutumia mistari kama “kwa kupigwa kwake sisi tumepona” (Isaya 53:5) kwa imani. Mistari ya biblia itabaki kama mistari usipopata mafunuo kutoka kwa Roho Mtakatifu.
Unapotoa neno kama hilo kwa imani unampa Mungu kuachilia neno na kukujibu. “Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao” (Zaburi 107:20). Kwa hiyo unapomuomba Mungu kitu fulani hakupi hicho kitu ila anakupa neno lilibeba hicho kitu. Mfano ukiomba uponyaji anakupa neno lilibeba uponyaji na imani yako inakupa kupokea. Ukimuomba hela hakupi hela ila neno ambalo limebeba maarifa ya kupata hela. Ndo maana ni muhimu sana kuwa na neno la Mungu kwani yeye hujibu kwa ufasaha
5. OMBA MUNGU AKUPE MASIKIO YA KUSIKIA: Hiki kipengele kinaweza kuunganishwa na cha 4. Ili maombi yako yakue, unahitaji kuwa na neno la Kristo. Warumi 10:17 inasema “basi imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.” Kwa hiyo muombe Mungu akupe masikio ya kusikia ili uweze kusikia sauti ya neno lake. Siongelei masikio ya nje bali masikia ya ndani ambayo yanasikia kile ulichosikia. Matayo 13:13 inasema “wakisikia hawasikii wala kuelewa.” Kwa hiyo unaweza kusikia na usisikie kile ulichosikia. Lakini ukimuomba Mungu akupatie masikio ya kusikia itaongeza neno la Mungu ndani yako na kufanya maombi yako yawe na nguvu.
6. JIFUNZE KUUOMBEA MWILI WAKO: Kuomba ni jambo la rohoni na Mungu wetu anapenda tuwe tunaomba. Kwa sababu mwili na roho mara zote vinapingana (Wagalatia 5:17), mwili hautaki kabisa maombi. Kama unabisha siku moja fanya jaribio hili: Andaa maombi ya saa moja halafu mpigie simu rafiki yako mpendwa na umwambie mambo yote unataka kumwambia Mungu. Utakuta unaweza kumwambia rafiki yako kwa muda wa saa moja bila kuchoka. Sasa chukua hayo maombi halafu nenda mbele za Mungu kwa lengo la kuomba, utaona mwili unakugomea. Kwa hiyo ili uweze kuwa na maombi effective, lazima uushinde kwanza mwili.
Maandiko yanasema “Basi ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana” (Warumi 12:1). Kumbuka dunia, mwili, na shetani vinafanya kazi pamoja katika utatu wa uovu kwa ajili ya kupinga chochote kile cha Mungu kama kuomba. Hivyo kuwa na tabia ya kuuombea mwili wako kila siku. Kama unataka kuomba kwa saa moja, omba kwanza na kuukabidhi mwili wako kwa Mungu ili uweze kukubali maombi ya saa moja. Ukianza kuomba utaona mwili unakataa lakini unavyoendelea kuomba, eventually unaushinda na utashangaa unaomba kwa urahisi sana. Uombee mwili wako kila siku.
7. OMBA UPAKO WA KUOMBA: Maandiko yanasema Roho Mtakatifu ndiye anatusaidia kuomba (Warumi 8:26). Hivyo kila siku muombe Roho Mtakatifu akupe upako wa kukusaidia kuomba unapoanza kuomba. Hii ni sala ambayo unatakiwa uifanye kila siku kwani unahitaji Roho wa Mungu akusaidie katika maombi yako yote. Lakini unapoomba upako wa kuomba, muombe Roho Mtakatifu akuongoze kuomba katika kila kitu ili usiombe kwa tamaa zako, kitu ambacho kinaweza kumfanya Mungu asijibu maombi yako (Yakobo 4:3). Pia muombe Roho Mtakatifu akukumbushe neno (Yohana 14:26) la kukusaidia kuomba. Kumbuka kila unachotaka kufanya cha Mungu, kinahitaji upako wa Mungu. Wapendwa wengine huwa wanashindwa kuomba kutokana na kwamba wanajaribu kutumia nguvu zao kuomba.
8. OMBA KWA IMANI: Hiki ni kipengele muhimu kuliko vyote. Unapokuwa unaomba, weka imani yako kwa Yesu. Wengi wanaweka imani kwenye maombi, kwenye kupokea, kwenye kufunga, au kwenye kujibiwa. Unapoweka imani kwenye maombi halafu Mungu asipojibu, utaanza ku-question maombi yako. Na kama upo kwenye kikundi cha maombi utaanza kujiuliza juu ya hicho kikundi cha maombi na wengine wanaweza kuhama kikundi. Maana yake wanatoa imani ya maombi kwenye kundi moja na kuihamisha kwenye kundi jingine. Hii ni kuwa na “imani kwenye maombi” na siyo “kuomba kwa imani.” Lakini ukiweka imani yako kwa Yesu na usipojibiwaa maombi yako utamuuliza Yesu shida ipo wapi na atakujibu kwa kukupa neno lake. “Kwa sababu hii nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu” (Marko 11:24). Unaweza kutumia msitari huo kumuuliza Mungu kwa nini hujapokea kile umeomba wakati amekuahidi utapokea.
9. ONGEZA NGUVU ITENDAYO KAZI NDANI YAKO: Ukisoma Waefeso 3:20 utaona kitu cha ajabu pale. Mungu anasema “Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuwayazayo, na kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu.” Hapa Mungu anatuambia anajibu zaidi ya tunayoomba lakini pia anasema kwa kadri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu. Hivyo moja ya njia ya kuongeza kujibiwa ni kuongeza nguvu ya Mungu ndani yako. Nguvu inayoongelewa ni upako wa Roho Mtakatifu kwani ndo nguvu pekee ambayo inatenda kazi ndani yetu. Ndo maana kama unataka kuongeza nguvu katika maombi yako huwezi kukwepa kujua aina mbali mbali za upako wa Roho Mtakatifu za kukusaidia wewe.
10. MATEGEMEO: Unapoenda mbele za Mungu kuomba unategema nini? Lazima uwe na mategemeo fulani katika maombi yako. Kama hutegemi chochote kutoka kwa Mungu, kwa nini unaomba? Kuna mambo tunatakiwa kuyategemea tunapokuwa tunaomba lakini kuna mambo hatutakiwi kuyategemea. Tegemeo kubwa juu ya maombi ni kwamba “na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake” (1 Yohana 3:22). Kwa hiyo lazima tuzishike kwanza amri za Mungu. Pia katika maombi utegemee kupata maarifa na roho ya ufaham (Wakolosai 1:9). Kuna mambo mengi zaidi ambayo unaweza kutegemea kwenye maombi. Lakini pia kuna mambo ambayo usiyategemee.
Kwanza usitegemee tu kila kitu kitakuwa rahisi. Omba kwa imani lakini usitegemee kuwa kila kitu kitaenda kirahisi kama unavyotaka wewe. “Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, mara ya kwanza, na mara ya pili, na Shetani akatuzuia” (1 Wathesalonike 2:18). Daniel maombi yake yalizuiliwa siku 21 (Daniel 10:13). Kuna kipindi shetani anaweza kuzuia hivyo lazima ujue kuwa kuna wakati unapoomba unaenda kupambana. Uwe na imani ya kushinda lakini usiende kwa kutegemea kila kitu ni rahisi. Na level fulani ya maombi unatakiwa ku-bypass radar ya shetani. Njia mojawapo ni kunena kwa lugha (1 Wakorintho 14:2).
Pili usitegemee muujiza. Watu wengi wanapenda kuomba wakitegemea muujiza. Maandiko hayasemi tutaishi kwa muujiza bali kwa neno (Matayo 4:4). Sina maana kuwa maombi hayawezi kukuletea muujiza lakini usiwe unaenda mbele za Mungu kuomba kwa mategemeo ya muujiza. Miujiza ipo lakini kumbuka kila muujiza una sababu yake kuwepo na wakati wake kuwepo. Sababu na wakati wa kuwepo muujiza ikiondoka na muujiza huondoka (1 Waflme 17:14). Mungu mwenyewe anajua kipindi unahitaji muujiza. Hivyo mategemeo yako yasiwekwe kwenye muujiza bali yawekwe neno la Mungu. Kikubwa na cha msingi ni kwamba “twaenenda kwa imani, si kwa kuona” (2 Wakorintho 5:7).
11. PIMA NGUVU YA MAOMBI YAKO: Utajuaje kama maombi yako yana nguvu au hayana? Nguvu ya maombi haipimwi kwenye muda ambao unautumia kuomba bali kwenye matunda unayoyapata unapoomba. Maandiko yanasema “kwa matunda yao mtawatambua” (Matayo 7:16). Kwa lugha nyingine nguvu ya maombi yako inapimwa kwenye ongezeko la imani yako. Maombi yanatakiwa yakuze imani yako kwa Kristo na imani yako inapokua hata kujibiwa kwako na kiwango cha maisha kinaongezeka.
Lakini kumbuka kuwa “tunaishi kwa imani”(Warumi 1:17) na wala “hatuishi kwa maombi.” Jinsi nguvu yako ya maombi inavyongezeka ndivyo kujibiwa kutaongezeka na utaweza kuomba kwa muda mrefu. Ila kumbuka urefu wa maombi siyo nguvu ya maombi. Nguvu ya maombi iliyoko ndani yako siyo nguvu yako ila ni nguvu ya Roho Mtakatifu ifanyayo kazi ndani yako. Unaweza kuomba maombi marefu yasiyo na nguvu na pia unaweza kuomba maombi mafupi yakawa na nguvu. Hii inatege
12. MAOMBI YA KUFUNGA: Kuna level fulani ya maombi ambayo unahitaji kufunga na kuomba. Kuna mambo mengine ambayo Mungu hawezi kufanya mpaka umefunga na kuomba. “Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga” (Matayo 17:21). Maombi ya kufunga ni maombi ambayo yana nguvu sana. Unapofunga unatakiwa uombe Roho Mtakatifu akuongoze mambo gani ufunge. Wengi huwa wanafunga kwa kuunyima mwili chakula na maji. Kwa mfano mtu hali asubuhi mpaka jioni.
Lakini wakati mwingine unatakiwa uinyine nafsi pia na hapa ndo huwa pagumu. Nafsi inalishwa kwa kuhisi, kuona, kusikia, kuonja na kunusa. Kwa wengine kufunga kwenye nafsi ni kugumu zaidi ya kufunga kwa mwili. Kuna watu wengine anaweza kufunga chakula siku mbili bila shida ila hawezi kuacha kutumia simu, kuangalia TV, au kusikia mziki. Wakati mwingine unaweza kufunga kwa ajili ya nafsi pia kwani lengo kubwa la kufunga nikujinyima vile mwili na nafsi inahitaji ili kuilisha roho. Soma Isaya 58 juu ya kufunga. Kuna sababu nyingi mtu anaweza kufunga na chache ni hizi:
Kufunga ili kutafuta msaada na mwongozo wa Mungu (Ezra 8:21—23).
Kufunga ili Mungu asikie maombi kilio na maombi yako (Esther 14:6; Nehemia 1:4—11).
Kufunga ili ushinde majaribu (Matayo 4).
Kufunga ili kuwa na upako wa huduma (Matendo 13:3).
MUHIMU: Maombi ni muhimu sana katika maisha ya kila anayeamini. Lakini usijaribu kuishi kwa maombi ila hakikisha unaishi kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu (Matayo 4:4). Watu wengi wameweka imani yao katika maombi kuliko katika neno. Matokeo yake wanakua katika maombi lakini hawakui katika kumjua Kristo kupitia neno lake.
Maombi yana nafasi yake lakini muhimu zaidi hakikisha una neno ili uweze kujenga imani yako. Ukisoma misingi 12 ya imani utakuta maombi siyo moja ya msingi. Umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wanaweza kuomba kila siku lakini hawawezi kusoma neno kila siku? Umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wakiwa wanaumwa au wanashida kitu cha kwanza watasema ni “ninahitaji maombi.” Ni wachache watasema “ninaumwa ninahitaji neno.” Maandiko yanatuambia Mungu hutuma neno la uponyaji (Zaburi 107:20). Hivyo unavyozidi kuongeza nguvu yako katika kuomba
Ubarikiwe!!
SHARE ZAIDI TAFADHALI
Kuna mambo mengi sana yanayoweza kukusaidia ili nguvu yako ya maombi na kujibiwa kuongezeka. Tuangalie haya mambo 12:
1. TOBA NA UTAKASO: Kabla ya kuanza kuomba, omba toba kwa ajili yako na yule unayemuombea, jisafishe kwa Damu ya Yesu Kristo, na pia takasa eneo ambalo unaomba na kulikomboa katika ulimwengu wa roho. Nguvu yako ya kuomba inaweza kutegemea eneo ulipo. Hujawahi kuona kuna maeneo unaweza kuomba vizuri lakini kuna maeneo mengine ukishaenda nguvu ya kuomba haipo. Wengine akiwa kwenye kikundi cha maombi kanisani anakuwa na nguvu sana ya kuomba lakini akishafika nyumbani, nguvu yote inaisha. Unadhani shida ipo wapi? Eneo ni muhimu sana katika ulimwengu wa roho.
2. IJUE MAANA YA KUOMBA: Kuomba ni njia mojawapo ya kuzungumza na Mungu wetu. Unapomuita Mungu kwa kuomba anakusikiliza (Yeremia 29:12). “BWANA yu karibu kwa wote wamwitao, Wote wamwitao kwa uaminifu”(Zaburi 145:18). Na njia mojawapo ya kumwita Mungu ni kwa njia ya maombi. “Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua”(Yeremia 33:3). Neno “mambo usiyoyajua” tukiliangalia kwa undani tunaona ni “mafunuo ya Mungu.” Kwa hiyo kuomba kunamfanya Mungu akupe mafunuo(revelation). Hivyo dumu katika kuomba (Wakolosai 4:2) kwani maombi ya mwenye haki yana nguvu (Yakobo 5:16).
3. MUDA: Muda/wakati ni muhimu sana katika ulimwengu wa roho hasa katika kuomba. Waefeso 5:16 inasema “tuukomboe wakati.” Maana yake wakati umetekwa na ibilisi. Moja ya silaha ambazo shetani anatumia kuua maombi ni kutumia muda. Akiweza kuuteka muda wako ameuwa maombi yako. Shetani alitumia sheria kujaribu kufunga muda wa maombi kwa kina Daniel siku 30 (Daniel 4). Kwa kuwa sheria sasa imeandikwa katika mioyo yetu Waebrania 10:16), muda unafungwa katika ulimwengu wa roho na matokeo yanatokea katika mwili.
Kuna watu ambao katika ulimwengu wa roho, shetani amefunga muda wao labda masaa 23 kwa siku. Maana yake katika siku huwezi kufanya maombi zaidi ya saa moja. Pia wengine muda wao umefungwa masaa 23 na dakika 45. Maana yake huwezi kuomba effectively zaidi ya dakika 15. Dakika 15 za mwanzo utaomba vizuri ila zikianza kuzidi, utaanza kupata uzito wa ajabu. Na kuna watu muda wao wa kuomba umefungwa masaa 24 kwa siku. Kwa huyu mtu hata kuomba dakika 5 ni kazi na ukianza tu kuomba, hapo hapo unaanza kusikia uzito. Kumbuka muda unafungwa katika ulimwengu wa roho, hivyo ukitaka kuukomboa, lazima uukomboe katika ulimwengu wa roho.
Na ukianza kufanya maombi ya kukomboa wakati sawa na Waefeso 5:16, shetani atakupiga vita. Lakini unaweza kuanza kukomboa kidogo kidogo. Mfano unashangaa ulikuwa huwezi kuomba nusu saa sasa unaweza. Baadae unaenda unaweza kuomba saa moja na kuendelea. Kama ulikuwa huwezi kuomba hata dakika 5 ni vigumu kuanza ghafla tu uweze kuomba kwa masaa 3 mfululizo. Maombi ya kuukomboa wakati ni maombi ya kufanya mara kwa mara.
4. KUWA NA NENO: Moja ya maombi ambayo yana nguvu sana ni maombi kwa kutumia neno la Mungu kwa imani. Unapokuwa unaomba kutumia neno la Mungu unamkumbusha Mungu kuwa yeye ni nani kwako. Neno la Mungu ni agano amefunga na wewe hivyo ukitumia neno unamkumbusha Mungu juu ya agano alilofunga na wewe. Mfano kama unahitaji uponyaji, unaweza kutumia mistari kama “kwa kupigwa kwake sisi tumepona” (Isaya 53:5) kwa imani. Mistari ya biblia itabaki kama mistari usipopata mafunuo kutoka kwa Roho Mtakatifu.
Unapotoa neno kama hilo kwa imani unampa Mungu kuachilia neno na kukujibu. “Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao” (Zaburi 107:20). Kwa hiyo unapomuomba Mungu kitu fulani hakupi hicho kitu ila anakupa neno lilibeba hicho kitu. Mfano ukiomba uponyaji anakupa neno lilibeba uponyaji na imani yako inakupa kupokea. Ukimuomba hela hakupi hela ila neno ambalo limebeba maarifa ya kupata hela. Ndo maana ni muhimu sana kuwa na neno la Mungu kwani yeye hujibu kwa ufasaha
5. OMBA MUNGU AKUPE MASIKIO YA KUSIKIA: Hiki kipengele kinaweza kuunganishwa na cha 4. Ili maombi yako yakue, unahitaji kuwa na neno la Kristo. Warumi 10:17 inasema “basi imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.” Kwa hiyo muombe Mungu akupe masikio ya kusikia ili uweze kusikia sauti ya neno lake. Siongelei masikio ya nje bali masikia ya ndani ambayo yanasikia kile ulichosikia. Matayo 13:13 inasema “wakisikia hawasikii wala kuelewa.” Kwa hiyo unaweza kusikia na usisikie kile ulichosikia. Lakini ukimuomba Mungu akupatie masikio ya kusikia itaongeza neno la Mungu ndani yako na kufanya maombi yako yawe na nguvu.
6. JIFUNZE KUUOMBEA MWILI WAKO: Kuomba ni jambo la rohoni na Mungu wetu anapenda tuwe tunaomba. Kwa sababu mwili na roho mara zote vinapingana (Wagalatia 5:17), mwili hautaki kabisa maombi. Kama unabisha siku moja fanya jaribio hili: Andaa maombi ya saa moja halafu mpigie simu rafiki yako mpendwa na umwambie mambo yote unataka kumwambia Mungu. Utakuta unaweza kumwambia rafiki yako kwa muda wa saa moja bila kuchoka. Sasa chukua hayo maombi halafu nenda mbele za Mungu kwa lengo la kuomba, utaona mwili unakugomea. Kwa hiyo ili uweze kuwa na maombi effective, lazima uushinde kwanza mwili.
Maandiko yanasema “Basi ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana” (Warumi 12:1). Kumbuka dunia, mwili, na shetani vinafanya kazi pamoja katika utatu wa uovu kwa ajili ya kupinga chochote kile cha Mungu kama kuomba. Hivyo kuwa na tabia ya kuuombea mwili wako kila siku. Kama unataka kuomba kwa saa moja, omba kwanza na kuukabidhi mwili wako kwa Mungu ili uweze kukubali maombi ya saa moja. Ukianza kuomba utaona mwili unakataa lakini unavyoendelea kuomba, eventually unaushinda na utashangaa unaomba kwa urahisi sana. Uombee mwili wako kila siku.
7. OMBA UPAKO WA KUOMBA: Maandiko yanasema Roho Mtakatifu ndiye anatusaidia kuomba (Warumi 8:26). Hivyo kila siku muombe Roho Mtakatifu akupe upako wa kukusaidia kuomba unapoanza kuomba. Hii ni sala ambayo unatakiwa uifanye kila siku kwani unahitaji Roho wa Mungu akusaidie katika maombi yako yote. Lakini unapoomba upako wa kuomba, muombe Roho Mtakatifu akuongoze kuomba katika kila kitu ili usiombe kwa tamaa zako, kitu ambacho kinaweza kumfanya Mungu asijibu maombi yako (Yakobo 4:3). Pia muombe Roho Mtakatifu akukumbushe neno (Yohana 14:26) la kukusaidia kuomba. Kumbuka kila unachotaka kufanya cha Mungu, kinahitaji upako wa Mungu. Wapendwa wengine huwa wanashindwa kuomba kutokana na kwamba wanajaribu kutumia nguvu zao kuomba.
8. OMBA KWA IMANI: Hiki ni kipengele muhimu kuliko vyote. Unapokuwa unaomba, weka imani yako kwa Yesu. Wengi wanaweka imani kwenye maombi, kwenye kupokea, kwenye kufunga, au kwenye kujibiwa. Unapoweka imani kwenye maombi halafu Mungu asipojibu, utaanza ku-question maombi yako. Na kama upo kwenye kikundi cha maombi utaanza kujiuliza juu ya hicho kikundi cha maombi na wengine wanaweza kuhama kikundi. Maana yake wanatoa imani ya maombi kwenye kundi moja na kuihamisha kwenye kundi jingine. Hii ni kuwa na “imani kwenye maombi” na siyo “kuomba kwa imani.” Lakini ukiweka imani yako kwa Yesu na usipojibiwaa maombi yako utamuuliza Yesu shida ipo wapi na atakujibu kwa kukupa neno lake. “Kwa sababu hii nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu” (Marko 11:24). Unaweza kutumia msitari huo kumuuliza Mungu kwa nini hujapokea kile umeomba wakati amekuahidi utapokea.
9. ONGEZA NGUVU ITENDAYO KAZI NDANI YAKO: Ukisoma Waefeso 3:20 utaona kitu cha ajabu pale. Mungu anasema “Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuwayazayo, na kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu.” Hapa Mungu anatuambia anajibu zaidi ya tunayoomba lakini pia anasema kwa kadri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu. Hivyo moja ya njia ya kuongeza kujibiwa ni kuongeza nguvu ya Mungu ndani yako. Nguvu inayoongelewa ni upako wa Roho Mtakatifu kwani ndo nguvu pekee ambayo inatenda kazi ndani yetu. Ndo maana kama unataka kuongeza nguvu katika maombi yako huwezi kukwepa kujua aina mbali mbali za upako wa Roho Mtakatifu za kukusaidia wewe.
10. MATEGEMEO: Unapoenda mbele za Mungu kuomba unategema nini? Lazima uwe na mategemeo fulani katika maombi yako. Kama hutegemi chochote kutoka kwa Mungu, kwa nini unaomba? Kuna mambo tunatakiwa kuyategemea tunapokuwa tunaomba lakini kuna mambo hatutakiwi kuyategemea. Tegemeo kubwa juu ya maombi ni kwamba “na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake” (1 Yohana 3:22). Kwa hiyo lazima tuzishike kwanza amri za Mungu. Pia katika maombi utegemee kupata maarifa na roho ya ufaham (Wakolosai 1:9). Kuna mambo mengi zaidi ambayo unaweza kutegemea kwenye maombi. Lakini pia kuna mambo ambayo usiyategemee.
Kwanza usitegemee tu kila kitu kitakuwa rahisi. Omba kwa imani lakini usitegemee kuwa kila kitu kitaenda kirahisi kama unavyotaka wewe. “Kwa hiyo tulitaka kuja kwenu, naam, mimi Paulo, mara ya kwanza, na mara ya pili, na Shetani akatuzuia” (1 Wathesalonike 2:18). Daniel maombi yake yalizuiliwa siku 21 (Daniel 10:13). Kuna kipindi shetani anaweza kuzuia hivyo lazima ujue kuwa kuna wakati unapoomba unaenda kupambana. Uwe na imani ya kushinda lakini usiende kwa kutegemea kila kitu ni rahisi. Na level fulani ya maombi unatakiwa ku-bypass radar ya shetani. Njia mojawapo ni kunena kwa lugha (1 Wakorintho 14:2).
Pili usitegemee muujiza. Watu wengi wanapenda kuomba wakitegemea muujiza. Maandiko hayasemi tutaishi kwa muujiza bali kwa neno (Matayo 4:4). Sina maana kuwa maombi hayawezi kukuletea muujiza lakini usiwe unaenda mbele za Mungu kuomba kwa mategemeo ya muujiza. Miujiza ipo lakini kumbuka kila muujiza una sababu yake kuwepo na wakati wake kuwepo. Sababu na wakati wa kuwepo muujiza ikiondoka na muujiza huondoka (1 Waflme 17:14). Mungu mwenyewe anajua kipindi unahitaji muujiza. Hivyo mategemeo yako yasiwekwe kwenye muujiza bali yawekwe neno la Mungu. Kikubwa na cha msingi ni kwamba “twaenenda kwa imani, si kwa kuona” (2 Wakorintho 5:7).
11. PIMA NGUVU YA MAOMBI YAKO: Utajuaje kama maombi yako yana nguvu au hayana? Nguvu ya maombi haipimwi kwenye muda ambao unautumia kuomba bali kwenye matunda unayoyapata unapoomba. Maandiko yanasema “kwa matunda yao mtawatambua” (Matayo 7:16). Kwa lugha nyingine nguvu ya maombi yako inapimwa kwenye ongezeko la imani yako. Maombi yanatakiwa yakuze imani yako kwa Kristo na imani yako inapokua hata kujibiwa kwako na kiwango cha maisha kinaongezeka.
Lakini kumbuka kuwa “tunaishi kwa imani”(Warumi 1:17) na wala “hatuishi kwa maombi.” Jinsi nguvu yako ya maombi inavyongezeka ndivyo kujibiwa kutaongezeka na utaweza kuomba kwa muda mrefu. Ila kumbuka urefu wa maombi siyo nguvu ya maombi. Nguvu ya maombi iliyoko ndani yako siyo nguvu yako ila ni nguvu ya Roho Mtakatifu ifanyayo kazi ndani yako. Unaweza kuomba maombi marefu yasiyo na nguvu na pia unaweza kuomba maombi mafupi yakawa na nguvu. Hii inatege
12. MAOMBI YA KUFUNGA: Kuna level fulani ya maombi ambayo unahitaji kufunga na kuomba. Kuna mambo mengine ambayo Mungu hawezi kufanya mpaka umefunga na kuomba. “Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga” (Matayo 17:21). Maombi ya kufunga ni maombi ambayo yana nguvu sana. Unapofunga unatakiwa uombe Roho Mtakatifu akuongoze mambo gani ufunge. Wengi huwa wanafunga kwa kuunyima mwili chakula na maji. Kwa mfano mtu hali asubuhi mpaka jioni.
Lakini wakati mwingine unatakiwa uinyine nafsi pia na hapa ndo huwa pagumu. Nafsi inalishwa kwa kuhisi, kuona, kusikia, kuonja na kunusa. Kwa wengine kufunga kwenye nafsi ni kugumu zaidi ya kufunga kwa mwili. Kuna watu wengine anaweza kufunga chakula siku mbili bila shida ila hawezi kuacha kutumia simu, kuangalia TV, au kusikia mziki. Wakati mwingine unaweza kufunga kwa ajili ya nafsi pia kwani lengo kubwa la kufunga nikujinyima vile mwili na nafsi inahitaji ili kuilisha roho. Soma Isaya 58 juu ya kufunga. Kuna sababu nyingi mtu anaweza kufunga na chache ni hizi:
Kufunga ili kutafuta msaada na mwongozo wa Mungu (Ezra 8:21—23).
Kufunga ili Mungu asikie maombi kilio na maombi yako (Esther 14:6; Nehemia 1:4—11).
Kufunga ili ushinde majaribu (Matayo 4).
Kufunga ili kuwa na upako wa huduma (Matendo 13:3).
MUHIMU: Maombi ni muhimu sana katika maisha ya kila anayeamini. Lakini usijaribu kuishi kwa maombi ila hakikisha unaishi kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu (Matayo 4:4). Watu wengi wameweka imani yao katika maombi kuliko katika neno. Matokeo yake wanakua katika maombi lakini hawakui katika kumjua Kristo kupitia neno lake.
Maombi yana nafasi yake lakini muhimu zaidi hakikisha una neno ili uweze kujenga imani yako. Ukisoma misingi 12 ya imani utakuta maombi siyo moja ya msingi. Umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wanaweza kuomba kila siku lakini hawawezi kusoma neno kila siku? Umewahi kujiuliza kwa nini watu wengi wakiwa wanaumwa au wanashida kitu cha kwanza watasema ni “ninahitaji maombi.” Ni wachache watasema “ninaumwa ninahitaji neno.” Maandiko yanatuambia Mungu hutuma neno la uponyaji (Zaburi 107:20). Hivyo unavyozidi kuongeza nguvu yako katika kuomba
Ubarikiwe!!
SHARE ZAIDI TAFADHALI
Tuesday, March 6, 2018
Kati ya vitu ambavyo Mungu alimpa mwanadamu ni pamoja na KUCHAGUA! Kila kinachotokea kwako mara nyingi ni jinsi ulivyoamua kuchagua. Kuchagua kufaulu au kufeli, kuwa mtakatifu au mdhambi, kujiongoza au kuongozwa. Watu wengi tunashindwa kuchagua. Nimeamua kuchagua! Amua, anza!
*Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;*
KUM. 30:19.
✅Enzi na enzi maisha ya mwanadamu yaliongozwa na kuchagua; Adam na Hawa walichagua kutoisikia sauti ya Mungu wakamsikiliza nyoka *walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.*
MWA. 2:17
✅Esau alichagua kuitii njaa akauacha mbaraka wa mzaliwa wa kwanza *Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha dengu, naye akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.*
MWA. 25:34
✅Samson alichagua kumwambia siri Delila akapoteza agano lake kwa kumwambia adui siri za nguvu zake *Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu*
AMU. 16:17.
✅Mtume Paulo aliyaacha mambo ya faida kumfuata Kristo *Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, naliyahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.*
FLP. 3:7
✅Wanafunzi wa Yesu wanasema waliacha vyote *Petro akaanza kumwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata wewe.*
MK. 10:28 πΉUchaguzi katika maisha yako unatengeneza kila kitu. Amua kuanza, amua kumtii Mungu, chagua ushindi. Jifunze kufanya maamuzi sahihi wakati wote.
*√Salamu kutoka makanisa ya PSAG ( Pentecostal Salvation Assemblies of God)!*Pastor Kyaruzi
*Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;*
KUM. 30:19.
✅Enzi na enzi maisha ya mwanadamu yaliongozwa na kuchagua; Adam na Hawa walichagua kutoisikia sauti ya Mungu wakamsikiliza nyoka *walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.*
MWA. 2:17
✅Esau alichagua kuitii njaa akauacha mbaraka wa mzaliwa wa kwanza *Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha dengu, naye akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.*
MWA. 25:34
✅Samson alichagua kumwambia siri Delila akapoteza agano lake kwa kumwambia adui siri za nguvu zake *Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu*
AMU. 16:17.
✅Mtume Paulo aliyaacha mambo ya faida kumfuata Kristo *Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, naliyahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.*
FLP. 3:7
✅Wanafunzi wa Yesu wanasema waliacha vyote *Petro akaanza kumwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata wewe.*
MK. 10:28 πΉUchaguzi katika maisha yako unatengeneza kila kitu. Amua kuanza, amua kumtii Mungu, chagua ushindi. Jifunze kufanya maamuzi sahihi wakati wote.
*√Salamu kutoka makanisa ya PSAG ( Pentecostal Salvation Assemblies of God)!*Pastor Kyaruzi
Subscribe to:
Posts (Atom)